Sawa Mkuu. Ila nakukumbusha tu sasa ni 18:20Hrs
Sawa Mkuu. Ila nakukumbusha tu sasa ni 18:20Hrs
Kwa kuwa wewe ni shabiki wa Mkia Fc haujui tunachopata... Kwa hiyo haikuhusu, subirieni kuchinjwa saa moja kwa mchina
Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
HIVI NYIE MIKIA HUYO ZAHERA HUKO VITA MLIMPELEKA NYINYIYanga muone Mnavyoendeshwa na Zahera. Yani anaacha timu anaenda kwenye kua na timu nyingne, sasa mmefungwa Lipuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay! All the best.Yes....I know about 19:00.
I am waiting....to win the coming match.
Wish me lucky.
Roho mbaya tu,tukifuzu hapa tunakuwa tumewabeba nye, nye mmepoteza leo ni faida kwetu, nye mnatuhitaji ila sisi hatuwahitaji kwa lolote maana kwenye hizi game nye hamna faida kwetuKwa kuwa wewe ni shabiki wa Mkia Fc haujui tunachopata... Kwa hiyo haikuhusu, subirieni kuchinjwa saa moja kwa mchina
Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
Okay! All the best.
But haitakuwa rahisi kama uwazavyo.
Ndio kuweweseka kwenyewe huku Mtani. π π πBado dakika kadhaa taifa lisimame mheshimiwa simba sc ikiwa inaingia kwenye shoo ya kikubwa, SAMAHANI KWA KUCHAFUA UZI
Hata huko mnapata msimbaHIVI NYIE MIKIA HUYO ZAHERA HUKO VITA MLIMPELEKA NYINYI
ACHENI KUONGEA VITU AMBAVYO HAMNA USHAHIDI
TUKUTANE SAA 1 KWA MKAPA
AWE ZAHERA ASIWE ZAHERA ILA MJUE ROBO FAINALI MTAISIKIA KWENYE BOMBA
Najua sana mpenzi ila nimejipanga sana, hata kwa fitna za soccer lazima nishinde.
Tuonane after 99 minutes.
Usijali tuonane baada ya hizo dakika. Usisahau kunitag.Najua sana mpenzi ila nimejipanga sana, hata kwa fitna za soccer lazima nishinde.
Tuonane after 99 minutes.
Ofcourse majungu, mpira wa kubutua na kufungwa ni kawaida yenu
Usijali tuonane baada ya hizo dakika. Usikimbie tu.
Roho mbaya tu,tukifuzu hapa tunakuwa tumewabeba nye, nye mmepoteza leo ni faida kwetu, nye mnatuhitaji ila sisi hatuwahitaji kwa lolote maana kwenye hizi game nye hamna faida kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app