Wee Shadeeya wewe muogope Mungu πππWameshafanya tayari nipo home umeme hakuna. Kweli ujue.
πππ
Oooh. Sawa MkuuHauwezi kutukana Mamba kabla ya kuvuka Mto
TANESCO wanamuonea sana Shadeeya hasa katika mechi za Simbaπππ
Akwende tu kudadeki[emoji3532] P. Ngalema
Unakuja kunisaidia nn tater
Wadhani. πππ
Dkk ya ngapi kwani? ππLoading.......
ππππππππππππππWadhani. πππ
Zidake alafu warushie wayangaKuna mashabiki wameanza kurusha chupa uwanjani.
Halafu cha kuchekesha, ule mchezo wa kwanza, walitoka sare na Simba, lakini wanadai walicheza mchezo wa hovyo sana. Huu wa majuzi, wanadai walicheza vizuri, wakapigwa kimoja!Simba pia kile kilikua sio kiwango chao watakua walipewa hongo, haiwezekani yanga ipigwe moja tu kwenye kikosi kile cha bilion na upuuzi
Sent using unknown device
Duuh
Basi hapo tutazungumza vizuriNaanzaje kuokoka nilikujaza tu bwana niokoke beer nimwachie nanii
Dkk ya ngapi kwani?
N'yajulie wapi miee. Kuna kuna nini?ππππππππππππππ
Pole sana, sasa yanayotokea huko Iringa unayajua?
Nyingi tu zimebaki. Zinatosha kabisa simba kupata gori tatu nyingineDkk ya ngapi kwani? [emoji41][emoji41]
Tanesco katika ubora waoN'yajulie wapi miee. Kuna kuna nini?
Hahahahaa, daima wapi? Nyuma nini?πππN'yajulie wapi miee. Kuna kuna nini?