Ligi Kuu Tanzania Bara: Simba vs JKT Ruvu

Leo mechi ya Yanga hatuioni humu
 
Ila yule namba 2 wa simba aliecheza jana hastahili kuitumikia simba kabisa maana uwezo wake upo chini mno. Bora wangemuacha Nimuboma asee kuliko Malika Ndeule
Walimfukuza. Hassan Kessy wanadai mamluki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…