Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) - Mkapa Stadium | Yanga SC v Simba SC

Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) - Mkapa Stadium | Yanga SC v Simba SC

Natabiri leo ndiyo mechi ya ya mwisho kwa kishingo kama kocha wa mikia
 
Vikosi kwa pande zote mbili, Yanga SC na Simba SC
Screenshot_20201107-154713.jpg
Screenshot_20201107-160212.jpg
 
Badala ya kuanza na Bwalya angeanza Dilunga ama Kahata.

Mi naona shida itaanzia hapo
Bwalya kuanza ni sahihi Tayari hapo tuna Holding midfielder wa wawili Bwalya atakuwa na kazi moja tu ya Kui drive timu kwenda mbele kwa speed.
 
Back
Top Bottom