makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sijui hawa makocha huwa wanaona nini ama vipi, sijui uwezo wao ukoje!!Bwalya walimpeleka mbele plan ilikuwa mbovu sana alitakiwa akae kati apunguze wachezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui hawa makocha huwa wanaona nini ama vipi, sijui uwezo wao ukoje!!Bwalya walimpeleka mbele plan ilikuwa mbovu sana alitakiwa akae kati apunguze wachezaji
Chances hazitoi muelekeo wa mchezo. Yanga walipaki bus, na hata kocha wao amekiri kuwa ndio maelekezo yakeU17? kwanini hamjashinda sasa? au ngoja tukuulize ni timu gani imetengeneza clear chances nyingi kati ya Yanga na Simba ?
We kenge hujui mpiraNi penati na huyo kima ilibidi apewe straight red
.
Kupaki basi ni mbinu za ushindi pia. Au ukuona namna yanga walivyokuwa hawataki mambo mengi ya kuweka urembo rembo na nakshi nakshi kwenye mpira, wao wakiupata mpira ni basi kadhaa wapo golini kwa Simba. Walikuwa wanashambulia kwa kasi ya ajabuChances hazitoi muelekeo wa mchezo. Yanga walipaki bus, na hata kocha wao amekiri kuwa ndio maelekezo yake
View attachment 1622695
Kwa hiyo Yanga walipata huo ushindi?Kupaki basi ni mbinu za ushindi pia.
Masaburi kaziniYanga leo wanahali ngumu sana.awataamini kichapo watakacho kutana nacho.