mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
2pac shakur wewe ni zaidi ya falsafaLeo matokeo ni mawili tu, aidha simba amfunge yanga ama yanga afungwe na simba.
Mi najua matokeo matu sasa sijui haya mawili mnayatoa wapiLeo matokeo ni mawili tu..
1. Simba kumfunga yanga
2. Yanga kufungwa na simba
Prisons,Ruvu shooting na Mtibwa mlichezesha Simba queens??Yanga leo wanahali ngumu sana.awataamini kichapo watakacho kutana nacho.
Pamoja chief.Kila lakheri simba mnyama
2pac shakur wewe ni zaidi ya falsafa
Nimeyatohoa kutoka dakika 90 za mchezo huo..Mi najua matokeo matu sasa sijui haya mawili mnayatoa wapi
Sawa mkuu mi kwa hapo mi sina LA kuongezeaNimeyatohoa kutoka dakika 90 za mchezo huo..
Macho kwa mkapa.Sawa mkuu mi kwa hapo mi sina LA kuongezea
Mkuu vikosi kwa pande zote mbili angalia post #34 kisha lete utabiri wako..!Mm nataka kuona list ya vikosi. Mbona leo imechelewa?
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Vikosi kwa pande zote mbili, Yanga SC na Simba SCView attachment 1621419View attachment 1621420
Bwalya kuanza ni sahihi Tayari hapo tuna Holding midfielder wa wawili Bwalya atakuwa na kazi moja tu ya Kui drive timu kwenda mbele kwa speed.Badala ya kuanza na Bwalya angeanza Dilunga ama Kahata.
Mi naona shida itaanzia hapo