Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Timu ya mpira wa miguu Yanga Afrika imbeibuka na ushindi wa magoli matatu huku vyavu zao zikiwa hazijaguswa. Magoli ya Yanga yamefungwa na Heritier Makambo(dk 20), Mrisho Ngassa(dk 53) na Ajibu Migomba(dk 79).
Ushindi huo unaifanya Yanga ifikishe pointi 35 baada ya michezo 13 na kuongoza ligi.
Ushindi huo unaifanya Yanga ifikishe pointi 35 baada ya michezo 13 na kuongoza ligi.