Samahani Mkuu, nilijisahau tu. Hongera sana kwa mapenzi yako ya soka na kuamua kuturushia dondoo muhimu za mchezo huo. Endelea na moyo huo na Mungu akupatie afya njema, amina.
Samahani Mkuu, nilijisahau tu. Hongera sana kwa mapenzi yako ya soka na kuamua kuturushia dondoo muhimu za mchezo huo. Endelea na moyo huo na Mungu akupatie afya njema, amina.
AMINA KUBWA ila ngumu sana kumesa pale unapotamani Lyon wasawazishe unakuta wanapigwa tatu na lazima ulete matokeo ...nimewazia sana watangazaji na marefa katika hili
AMINA KUBWA ila ngumu sana kumesa pale unapotamani Lyon wasawazishe unakuta wanapigwa tatu na lazima ulete matokeo ...nimewazia sana watangazaji na marefa katika hili