Kocha wa KMC mwangali kwa umakini mchezaji wako Beki Ali Ali.
Mechi ya kwanza ndiye aliyesababisha goli dakika ya 90, kwa kumfanyia faulo ya makusudi, Makambo karibu ya 18. Feitoto akafunga goli.
Mechi ya pili anafunga goli yeye mwenyewe kuwasaidia Yanga fc goli moja.
Angeacha ile krosi ingetoka na kuwa Goal Kik.
Mpeleke hata kwa mkopo Ali Ali Yanga fc.
Ndio timu yake pendwa.
La sivyo atakughalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
lete tochiHilo goli la pili la Yanga linatia mashaka. Huyo beki amejifunga vipi kwa mtindo huo? Huyo beki amulikwe!!!!
Tiba
mbona unateseka sana au unafikiri kucheza mpira sawa na bao huku unakula kashata??Kocha wa KMC mwangali kwa umakini mchezaji wako Beki Ali Ali.
Mechi ya kwanza ndiye aliyesababisha goli dakika ya 90, kwa kumfanyia faulo ya makusudi, Makambo karibu ya 18. Feitoto akafunga goli.
Mechi ya pili anafunga goli yeye mwenyewe kuwasaidia Yanga fc goli moja.
Angeacha ile krosi ingetoka na kuwa Goal Kik.
Mpeleke hata kwa mkopo Ali Ali Yanga fc.
Ndio timu yake pendwa.
La sivyo atakughalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie tuliwaachia kidgo ili muongeeongee na kujambajamba kama kawaida enu... Ukizingatia siku chache mlikuwa mnatoka kuugulia zile 10 kwa mtungi toka kwa Alhaly na vita..Na Kweli mlifanya hivyo na Simba tarehe 16 Februari sijui mechi iliishaje?
Mliacha watangulie au sio???
Huyo dogo ni Yanga Lialia, kama Abukar Salum wa Azam FC.Tukumbushane assists
za *ALLY ALLY VS YANGA*
*1. Yanga vs Stand United ,2018*
Shuti toka kwa *Yusuf Muhilu* ally ally akajifunga ktk harakat za kuokoa mpira
*2. KMC VS YANGA ,2019*
*ALLY ALLY* alisababisha faulo katika nje ya penat area na hatimaye *FEISAL SALUMU* Kufunga bao la ushindi
*3. YANGA VS KMC 2019*
Kroc iliyopigwa na *IBRAHIM AJIB* ikamkuta *ALLY ALLY* aliyejifunga *KWA KICHWA SAAFI KABISA* na kupelekea ushindi kwa Yanga katika harakat za kuokoa mpira huo.
Na huo ndo *UMUHIM WA ALLY ALLY* kwa *YANGA*
Mkuu kunywa Pepsi baridi wenge litulie.Huyo dogo ni Yanga Lialia, kama Abukar Salum wa Azam FC.
Wakicheza na Yanga wanageuka kuwa Wachezaji wa Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndo timu ya wanaΓ±chi banaHuyo dogo ni Yanga Lialia, kama Abukar Salum wa Azam FC.
Wakicheza na Yanga wanageuka kuwa Wachezaji wa Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp Mtani walifanya kweli?Watoto wakino wafanye kweli
Karibuni tena. Tehkila la heri kmc
Waambie Mkuu.Wakimataifa kama kawaida yetu.. Tunangojea MTU aanze kutangulia tu, hapo anakuwa ameshajikatia ticket ya kufungwa
Shemela Weekend hiyo mambo zinakuwaga mingi.Shemela wapi hiyo?
πππ POLE MKUUHawa KMC magoli haya wangekuwa wamecheza na Simba wangeambiwa wameuza mechi, Beki anadive kabisa kujipiga mwenyewe goli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheeeka. lol.Kocha wa KMC mwangali kwa umakini mchezaji wako Beki Ali Ali.
Mechi ya kwanza ndiye aliyesababisha goli dakika ya 90, kwa kumfanyia faulo ya makusudi, Makambo karibu ya 18. Feitoto akafunga goli.
Mechi ya pili anafunga goli yeye mwenyewe kuwasaidia Yanga fc goli moja.
Angeacha ile krosi ingetoka na kuwa Goal Kik.
Mpeleke hata kwa mkopo Ali Ali Yanga fc.
Ndio timu yake pendwa.
La sivyo atakughalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatamani kulia aiseee.Inaelekea unateseka sana...pole kwa maumivu Ndugu yangu, pole sana kwa kweli....unaumia sana, jana umeumia, leo pia umeumia halafu bado na vita ambapo inaelekea 'wananchi' watakosa uzalendo na kuwa upande wa vita
NAULIZA NANI ANATESEKA MKUU ππππMtoto halali na hela Yanga 2-1KCMC