mbona unateseka sana au unafikiri kucheza mpira sawa na bao huku unakula kashata??
makosa kama hayo hutokea katika soka ni kawaida ndo mana mafia colombia walimpiga risas andres escobar
π π π NOMA SANATukumbushane assists
za *ALLY ALLY VS YANGA*
*1. Yanga vs Stand United ,2018*
Shuti toka kwa *Yusuf Muhilu* ally ally akajifunga ktk harakat za kuokoa mpira
*2. KMC VS YANGA ,2019*
*ALLY ALLY* alisababisha faulo katika nje ya penat area na hatimaye *FEISAL SALUMU* Kufunga bao la ushindi
*3. YANGA VS KMC 2019*
Kroc iliyopigwa na *IBRAHIM AJIB* ikamkuta *ALLY ALLY* aliyejifunga *KWA KICHWA SAAFI KABISA* na kupelekea ushindi kwa Yanga katika harakat za kuokoa mpira huo.
Na huo ndo *UMUHIM WA ALLY ALLY* kwa *YANGA*
HAKIKAHiyo ndo timu ya wanaΓ±chi bana
Mikia baada ya manji kuondoka wakajua itashuka daraja sasa wanateseka wanapoiona ipo kileleniPost zako Mkuu zinanifurahisha sana aiseee. Hazijawahi fanana hizo kitu mpira ni mpira na bao huku wanakula kashata hilo ni bao. πππ
Ally Ally alijua anaokoa kumbe anafunga bao. πππ
Ile krosi ya ajib imepimwa na rula yan yule hata asingeigusa ilikua inamkuta makambo,dogo alichokifanya ni kumpunguzia idadi ya magoli tu makambo,bila kusahau dogo kawakosesha wenzie m 5 maana mikia wananunua mechi za Yanga,m 10 ukiifunga Yanga m 5 mkidrooHawa KMC magoli haya wangekuwa wamecheza na Simba wangeambiwa wameuza mechi, Beki anadive kabisa kujipiga mwenyewe goli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule dogo kanunuliwa hawezi kudive vile na kujifunga,hongereni kununua mechiIle krosi ya ajib imepimwa na rula yan yule hata asingeigusa ilikua inamkuta makambo,dogo alichokifanya ni kumpunguzia idadi ya magoli tu makambo,bila kusahau dogo kawakosesha wenzie m 5 maana mikia wananunua mechi za Yanga,m 10 ukiifunga Yanga m 5 mkidroo
@shadeeya naona mmeanza janja janja goli la ushindi Lile Ni la manunuzi kabisa Jana ndo nimeamini pesa Ni MpesaHAKIKA
π«π« Watoto walijisahau sana mtani.Vp Mtani walifanya kweli?
Ndio hivyo Mtani kujisahau kwao wanafanya sisi tunaendelea kutulia pale kileleni.[emoji31][emoji31] Watoto walijisahau sana mtani.
Yule dogo kanunuliwa hawezi kudive vile na kujifunga,hongereni kununua mechi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu kashasha hajui kila kitu,huyo dogo alishawafungia Yanga goli la namna hiyo hiyo akiwa Stand UnitedKrosi ya vipimo ile,au hujamsikia mwl kashasha,hela ya kununulia mechi tuitoe wapi sie!
Hahaaaa. Hii ndio raha ya kushinda yaani tunayasikia hadi yale ambayo hatukuyatarajia.@shadeeya naona mmeanza janja janja goli la ushindi Lile Ni la manunuzi kabisa Jana ndo nimeamini pesa Ni Mpesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Krosi ya vipimo ile,au hujamsikia mwl kashasha,hela ya kununulia mechi tuitoe wapi sie!
Leo Yanga tumekuwa Matajiri. Aiseeeeee.
Tengua kauli yako mtaniππ Mnyama ndiye anaongoza msimamo usisahau tenaNdio hivyo Mtani kujisahau kwao wanafanya sisi tunaendelea kutulia pale kileleni.
Munaongoza nini hapa Mtani? π³π³Tengua kauli yako mtaniππ Mnyama ndiye anaongoza msimamo usisahau tena
Mtani mtani mtani!ππ Yanga PLD mechi 27 SIMBA PLD mechi 20 tunapoint hizo piga hesabuπππ
Mtani mtani mtani![emoji13][emoji13] Yanga PLD mechi 27 SIMBA PLD mechi 20 tunapoint hizo piga hesabu[emoji23][emoji23][emoji23]
.
Kumbuka Azam wako kwenye Fatigue ni mnakufa kwa hiyo mtazidi kuongeza wigo wa point mpaka sasa tunawazidi 5