mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,301
- 733
Kama ambavyo AJ Soura wanapaswa kumfurahia Shabalala kwa ile penalti ya goli la pili?Yanga mnatakiwa tu mfurahi kwa sababu ya kupata point 3 kwa msaada wa Ally Ally.
Mi nilijua KMC wanapata goli la pili kumbe Ally ameamua awafungie Yanga.
Kweli nimeamini ndo mana Yanga wanatawala vyombo vya habari ili kufunika hujuma zao wanazofanya ili wapate matokeo.
Sent using Jamii Forums mobile app