Yote yanaweza kutokea ila ligi imeanza vizuri sana upinzani kila kona. Timu kubwa zinashangalia kushinda timu ndogo ushindi ni kwa shida sana, kwa hapo kweli nimekuwa mgeni kwenye ligi.Utakuwa mgeni wa Ligi ya Tanzania, bila shaka.
Huo ni upepo tu wa mwanzo wa ligi. Ikifika mechi 5,6 timu nyingi huishiwa pumzi. Majeruhi hutokea.
Baada ya hapo sasa, utajua hujui.
Anyway, ngoja tusubiri tuone.
Umetisha mkuu umemaliza kila kitu. Mpira uchezwe.TFF waweke makini na rushwa ili kupanga matokeo, hasa kwa hizi team kubwa Simba na Yanga....Serikali kupitia takukuru iweke jicho kwa TFF, waamuzi na baadhi ya wachezaji wa team hizi ndogo ili suala la rushwa lisiwepo kabisa na matokeo halisi yapatikane...
Ligi iliyoisha hata azam sikumbuki lini alicheza saa nane.Ni kweli ligi imekuwa nzuri ila uwa najiuliza wapanga ratiba kwann Simba na yanga huwa hawachezi mechi za saa 8 mchana, nikipata jibu ntaridhika kuwa hakuna upendeleo
Ntibazokiza miaka 43,kagere45 uwachezeshe juani saa nane ili wafe,kuwa serias broNi kweli ligi imekuwa nzuri ila uwa najiuliza wapanga ratiba kwann Simba na yanga huwa hawachezi mechi za saa 8 mchana, nikipata jibu ntaridhika kuwa hakuna upendeleo
Dah! Aisee uzee mbaya. Yaani jamaa alishangilia kama goli la ushindi vile kwenye fainali za Klabu Bingwa Ulaya!Nilivyoona Kagere kashinda goli moja la offside kisha kashangilia mpaka kavua jezi nikajua kweli kazi ipo
Kacheza mechi kama mbili saa8Ligi iliyoisha hata azam sikumbuki lini alicheza saa nane.
Ni kwa sababu Yanga na Simba ndiyo Vilabu vyenye mashabiki wengi. Hivyo kuchangia kuongeza mapato ya uwanjani.Ni kweli ligi imekuwa nzuri ila uwa najiuliza wapanga ratiba kwann Simba na yanga huwa hawachezi mechi za saa 8 mchana, nikipata jibu ntaridhika kuwa hakuna upendeleo
Kagere anazeeka vibaya lakini pia benchi limemvuruga ubongo mzee wa watuDah! Aisee uzee mbaya. Yaani jamaa alishangilia kama goli la ushindi vile kwenye fainali za Klabu Bingwa Ulaya!
Asante azam kwa uzalendo huuView attachment 1962294
Kuna zile milioni 500 za mgawo kwa kila timu na kuna mgawo kulingana na nafasi utakayoshika mwisho wa msimu. Watauwana hawa majeruhi watakuwa wengi sanaaa .
Mapato uwanjani ni ishu nyingine kabisa, kuna upendeleo wa wazi kabisa katika vilabu vyetu vya Simba na Yanga tusipobadilika tutaishia kulalamika tu kuwa ligi yetu mbovu maana kiukweli Simba na Yanga wanapaswa kuwekwa kwenye ratiba ya kucheza saa 8.Ni kwa sababu Yanga na Simba ndiyo Vilabu vyenye mashabiki wengi. Hivyo kuchangia kuongeza mapato ya uwanjani.
Muda huo wa saa 8 mchana, mashabiki hao wanakua bado kwenye shughuli zao za kujitafutia kipato.
Kwa hiyo kama kuna upendeleo, basi ni ule upendeleo wa kufa kufaana.
Upendeleo uliopo ni wa kimaslahi tu. Hakuna sababu nyingine. Na ukiona hivyo vilabu vidogo vimeamua kutulia tu huku vikiwa na uwezo wa kutoa malalamiko yao kwenye Bodi ya Ligi, basi unatakiwa ukubali tu matokeo.Mapato uwanjani ni ishu nyingine kabisa, kuna upendeleo wa wazi kabisa katika vilabu vyetu vya Simba na Yanga tusipobadilika tutaishia kulalamika tu kuwa ligi yetu mbovu maana kiukweli Simba na Yanga wanapaswa kuwekwa kwenye ratiba ya kucheza saa 8.