Hepatis B
Senior Member
- Feb 11, 2013
- 193
- 155
Kwa kweli ligi kwa sasa ni tamu sana hongereni club zote zanazo shiriki ligi hii matokea ya michezo ya leo ni kwamba mpira sasa umeanza kueleweka kila kona ya Tanzania.
Timu kubwa mjipange sana na mbadilike, mazoea sasa wekeni pembeni point tatu kuchukua sio rahisi kama ilivyokuwa zamani.
Timu kubwa mjipange sana na mbadilike, mazoea sasa wekeni pembeni point tatu kuchukua sio rahisi kama ilivyokuwa zamani.