Ligi kuu Tanzania bara

Umeeleweka mkuu sana. Wengi tuliona ni ubaguzi kumbe ni lazima iwe ivyo!
 
Mm nakereka na viwanja vya mikoani nivibovu Sana serikali inatakiwa kuboresha hv viwanja angalau kwenye pitch ziwe za kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…