Upendeleo uliopo ni wa kimaslahi tu. Hakuna sababu nyingine. Na ukiona hivyo vilabu vidogo vimeamua kutulia tu huku vikiwa na uwezo wa kutoa malalamiko yao kwenye Bodi ya Ligi, basi unatakiwa ukubali tu matokeo.
Hata mimi pia siungi mkono timu kucheza saa nane mchana! Lakini ndiyo hivyo tena, wanazihitaji hela za Mdhamini (Azam Media) kwa ajili ya kujiendesha.
Na huyo Mdhamini pia angependa kuona watu wengi wakifuatilia matangazo kupitia king'amuzi chake! Na kwa bahati mbaya, hiyo saa 8 watu wengi bado wanakua wako kazini.