Ligi kuu ya NBC itasimama wakati Okrah atakapokuwa kwenye kombe la dunia?

Vitu wanavyoshangilia makolo msimu huu:

- "Babula" kateuliwa CAF.

- Okrah kaitwa timu ya taifa

- "lete mdhunguuuu"


Makolo mmepoteana asee!
Vipi, mlishaenda kumsalimia shemeji mpya kule kwa Bugatti?
 
Huyo Okrah hawezi kuwepo kwenye kikosi cha mwisho kitakachoteuliwa kushiriki kombe la dunia kwani uwezo wake ni mdogo sana.
 
Huyo Okrah hawezi kuwepo kwenye kikosi cha mwisho kitakachoteuliwa kushiriki kombe la dunia kwani uwezo wake ni mdogo sana.
Uwezo wake ni mdogo ukimlinganisha na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…