wakweetusana
Member
- Feb 14, 2016
- 11
- 3
Okrah mnyama sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu sio lazima Huwa mpk wachezaji wafike watu ndo wanalazimika,mengineyo Huwa ni busara tuLigi kuu huwa inasimama kupisha mechi za timu za taifa. Je! Wakati Augustine Okrah atakapokuwa anaiwakilisha Ghana itabidi ligi kuu Tanzania bara isimame?
Hivi okra ndio bamia eeh ?Ligi kuu huwa inasimama kupisha mechi za timu za taifa. Je! Wakati Augustine Okrah atakapokuwa anaiwakilisha Ghana itabidi ligi kuu Tanzania bara isimame?
Unateseka ukiwa maeneo gani?Hivi okra ndio bamia eeh ?
Bwana acha ubishi, huyo sijui Okrah hawezi kuchaguliwa kwenda kombe la dunia kwa mpira anaocheza tena nchi yenyewe Tanzania wakaachwa Europe based professionals.Kwanini unataka kufanya maamuzi kwa niaba yake?
Hilo tumwachie kocha atakapoita kikosi cha world cup.Bwana acha ubishi, huyo sijui Okrah hawezi kuchaguliwa kwenda kombe la dunia kwa mpira anaocheza tena nchi yenyewe Tanzania wakaachwa Europe based professionals.