Ligi kuu huwa inasimama kupisha mechi za timu za taifa. Je! Wakati Augustine Okrah atakapokuwa anaiwakilisha Ghana itabidi ligi kuu Tanzania bara isimame?
Ligi kuu huwa inasimama kupisha mechi za timu za taifa. Je! Wakati Augustine Okrah atakapokuwa anaiwakilisha Ghana itabidi ligi kuu Tanzania bara isimame?
Bwana acha ubishi, huyo sijui Okrah hawezi kuchaguliwa kwenda kombe la dunia kwa mpira anaocheza tena nchi yenyewe Tanzania wakaachwa Europe based professionals.
Bwana acha ubishi, huyo sijui Okrah hawezi kuchaguliwa kwenda kombe la dunia kwa mpira anaocheza tena nchi yenyewe Tanzania wakaachwa Europe based professionals.