Ligi Kuu ya Tanzania Bara: Mbao FC yaitandika Simba SC kwa goli 1-0

Hahahaaaaa. Yaani hapa nakumbuka maneno yenu ya jana na asubuhi basi nacheeeeka hatari.

Haya tuzisubiri aisee Mtani.
Tulikuwa tukiwapa wakati mgumu kwenye mechi yenu. Naona leo zamu yenu, lakini mpira mpaka uishe ndo tuona.
 
mudaa wa half time viongozi wa mikia wameingia kwenye vyumba vya mbao fc, jamani mwenye namba za takukuru mwanza naomba anitumie inbox fasta tukawanase, ndani ya dakika 5 watakuwa wamemaliza 'biashara'
 
mudaa wa half time viongozi wa mikia wameingia kwenye vyumba vya mbao fc, jamani mwenye namba za takukuru mwanza naomba anitumie inbox fasta tukawanase, ndani ya dakika 5 watakuwa wamemaliza 'biashara'
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…