Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado dakika ngap,I?Bao moja chaliiiiii
BeiiiiiiiiiiiiraWoyoooooooooooooi Wanjiru
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakuu zangu hawa Mbao si wazee wa Tunguri tu ni Wezi pia.. Nimeibiwa simu yangu.. Hapa natumia simu ya Msemaji wa Timu. Hivyo nitapotea jukwaani kwa muda. Lini nitarudi? Sijajua.
Ahsanteni.
Wewe tunakufahamu na mbwembwe zako tumezizoeaWakuu zangu hawa Mbao si wazee wa Tunguri tu ni Wezi pia.. Nimeibiwa simu yangu.. Hapa natumia simu ya Msemaji wa Timu. Hivyo nitapotea jukwaani kwa muda. Lini nitarudi? Sijajua.
Ahsanteni.
Wa matopeni wanasikitishaHahahahaaa. Ndio muamini sasa kuwa kuwa na ma asilimia sijui mangapi ni sawa na bure. Hahahaaaaa.
Hahahaaa. Alijifariji sana yaani toka jana.Kakimbia huyo
FULL TIME....Bado dakika ngap,I?
Pumba kabisa, ulitaka afungwe nani ili wewe ufurahi?Nilisema humu ndani kitendo cha viongozi wa simba kuingiza siasa na kuinajisi timu kupitia Makonda kitatugharimu mbeleni..leo imedhihirika.. Manara tunaanza upyaaaa
Mtanashati, leo ndio mtalala chini manake hata vitanda vitakuwa havilalikiSimba ni team yenye hela bhanaaaaaa huwa haifungwi .
Mnyama kalala. Sasa hapa najiwazia tu.nipe matokeo
Kagere,okwi,salamba ,kichuya wamecheza?FULL TIME....
MPIRA UMEKWISHA
MBAO FC 1 SIMBA 0
Safari hii labda wapate kikombe cha kunywea uji...Hahahaaa. Alijifariji sana yaani toka jana.
Pole kwao sijui safari hii watasema nini. Maana msimu uliopita ndio zilikuwa bwabwaja za Manara kwamba hawajawahi kufungwa. KIKO WAPI MSIMU HUUU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]