Ligi Kuu ya Tanzania Bara: Mbao FC yaitandika Simba SC kwa goli 1-0

Wakuu zangu hawa Mbao si wazee wa Tunguri tu ni Wezi pia.. Nimeibiwa simu yangu.. Hapa natumia simu ya Msemaji wa Timu. Hivyo nitapotea jukwaani kwa muda. Lini nitarudi? Sijajua.

Ahsanteni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wakuu zangu hawa Mbao si wazee wa Tunguri tu ni Wezi pia.. Nimeibiwa simu yangu.. Hapa natumia simu ya Msemaji wa Timu. Hivyo nitapotea jukwaani kwa muda. Lini nitarudi? Sijajua.

Ahsanteni.
Wewe tunakufahamu na mbwembwe zako tumezizoea
Inabidi TFF watukabidhi kombe letu mapema sana msimu huu
 
Nilisema humu ndani kitendo cha viongozi wa simba kuingiza siasa na kuinajisi timu kupitia Makonda kitatugharimu mbeleni..leo imedhihirika.. Manara tunaanza upyaaaa
Pumba kabisa, ulitaka afungwe nani ili wewe ufurahi?
 
Safari hii labda wapate kikombe cha kunywea uji...

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…