TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Shikomooni wakubwa zangu
Moja kwa moja bila kupoteza muda twende kwenye mada
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) imeshika namba MOJA kwa ubora Afrika Mashariki , namba NANE barani Afrika na namba 71 duniani kwa mwaka 2020.
Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu ( IFFHS )
Social www.iffhs.com
Neno moja la pongezi kwa BODI YA LIGI NA TFF
Moja kwa moja bila kupoteza muda twende kwenye mada
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) imeshika namba MOJA kwa ubora Afrika Mashariki , namba NANE barani Afrika na namba 71 duniani kwa mwaka 2020.
Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu ( IFFHS )
Social www.iffhs.com
Neno moja la pongezi kwa BODI YA LIGI NA TFF