Imani ya kutoka draw, yaani mmeishiwa nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Team ya wananchi bado nina imani nayo kubwaa tu
Shukran kwa kuzfikisha mimi pia nampelekea salamu MK14 NGUVU YA MAMBA KUMAI juu ya kasi aliyo kuja nayo D.MolingaZimefika Mtani.
Ila Yanga. Daah.
Mpe habari kwamba Molinga kaanza kufunga hivyo ajipangee. 😎😎😎Shukran kwa kuzfikisha mimi pia nampelekea salamu MK14 NGUVU YA MAMBA KUMAI juu ya kasi aliyo kuja nayo D.Molinga
Ni kweli mmeshinda draw na mnaendelea kuwa chini ya handaki[emoji23][emoji23][emoji23]Yanga tunashinda hii mechi lazima
Hakika Mkuu. Japo huwa tunanyong'onyea saa ingine ujue.Tutulie hamna jinsi
Bora Aisee Kaka ake. [emoji120][emoji120][emoji120]
Naona Molinga wetu kaona mwezi.
Nawaza tu tungefungwa hapa Mtani. Maana huwa mna madongo bana.Ni kweli mmeshinda draw na mnaendelea kuwa chini ya handaki[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani. Najua ingekuwa furaha sana kwenu.Hongereni timu ya Wananchi japo Kwa droo maana leo taulo ingeanguka mbele ya ma mkwe!!
Mjiandae, Simba atawa.....!!
😳😳😳😳Nawaona coastal union wakijichukulia mwali kiulaini j2
Alisikika Mwananchi mwenye hasira kali akisemaHii kubahatisha bahatisha hii huwa inakera sana. Mbona Zambia hatukucheza hivi 🤔🤔🤔
Unadhani tunakataa Mtani. Ila Ligi bado mbichi mjue.Mtani kila mtu ashinde mechi zake tu