Sawa mabingwa wa ligi ya Hans Popo mwakani mtawakilisha Tanganyika kombe la mapinduziUkiangalia kwa undani sisi ndiyo mabingwa halisi. Ktk ligi ndogo (yenye timu kubwa za Simba, Azam, na Yanga) sisi ni mabingwa (tulivuna pts 4 kwa Yanga, na 4 kwa Azam). Simba ina point 8; Azam ina 5, na Yanga ni ya mwisho ina pts 2 tu!
hivi alikuwa mwenyekiti wa timu ipi ni mbunge wa ccmSimba haina uhusiano na chama chochote cha siasa tofauti na Yanga iliyofanya ikulu na Bunge kama kijiwe cha kuongelea mambo ya Yanga.
Nadhani hapo umenielewa.
Simba haina uhusiano na chama chochote cha siasa tofauti na Yanga iliyofanya ikulu na Bunge kama kijiwe cha kuongelea mambo ya Yanga.
Nadhani hapo umenielewa.
Unakumbuka nani muasisi wa huo utoto?
Kawaida hiyo hata TFF wanajua mpira Tanzania ni Yanga na Azam hayo mengine makapi tuu. Hata mtoto mdogo ukimwambia kama yanga kachukua ubingwa atajua tuu kuwa anayefuatia ni Azam.
Acheni kujipa matumaini wakati uwezo hamna.
Simba haina uhusiano na chama chochote cha siasa tofauti na Yanga iliyofanya ikulu na Bunge kama kijiwe cha kuongelea mambo ya Yanga.
Nadhani hapo umenielewa.
View attachment 249942
Kufungwa wamefungwa Yanga na Azam huyu jamaa wa Mbumbu FC analia yeye...inashangaza huo uchungu wa kufungwa kaupataje@grafani11
Mpira Pesa!
Naona Una Hamu Na Libolo FC. Kama Vipi Njoo Ili Okwi Akupe Libolo FC Jingine Kisha MKASEREBUKE Nalo Na Akina " Jenny Murro " Na Mzee " Akili Lakini Hana Mali ".
hivi alikuwa mwenyekiti wa timu ipi ni mbunge wa ccm
At least ungeanza kushabikia soka wakati Simba inacheza na TP Mazembe Dsm ungeweza kulijibu swali langu ipasavyo vinginevyo unazidi kudhihirisha utoto wako kwenye hoja za kisoka.
mbunge na mwenyekiti wa chama/rais wa nchi nani ni mkuu kuliko mwenzake?
Ukishindwa hata hilo kweli wewe ni kiranja wa mbumbumbu mirembe.
mwenyekiti wa chama sio kiongozi ni shabiki, mbunge alikuwa ni kiongozi wa hiyo timu...ata mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni shabiki mkuu wa hiyo timu je tuiite ni timu ya chama gani mkuu???
Ungeuliza hili swali mapema ili nimpe simu Mwanangu hapa apate kukujibu.. maana naye alipana nafasi ya kutazama hiyo Mechi.
Sasa hivi amechukuliwa na mafuriko ya jangwani? Nenda Daraja la Salenda unaweza kubahatisha.
Sasa hivi amechukuliwa na mafuriko ya jangwani? Nenda Daraja la Salenda unaweza kubahatisha.
Kweli ndio maana GENTAMYCINE huwaita mapopompo, unashindwa kufahamu kuwa familia nzima ya huyo unayemtetea ni yeboyebo pamoja na yule mbunge kijana ambaye huwa mnapeleka timu kambini jimboni mwake kila siku aliwahi kuwa kiongozi ndani wa yeboyebo!