Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

Baadaye tutawaomba wataalamu humu watupangie msimamo wa ligi kwa mechi walizocheza wenyewe kwa wenyewe Yanga, Azam na Simba
(ila hapa najiandaa kuporomoshewa matusi)
 
Azam FC XI Vs Yanga; Mwadini, Himid, Gadiel, Kapombe, Aggrey, Mudathir, Braison, Domayo, Mwaikimba, Tchetche, Majwega
Young Africans S.C. XI Vs Azam FC; Deogratius, Juma, Oscar, Zahir, Pato, Telela, Mrwanda, Nizar, Tambwe, Ngasa, Coutinho

No kavumbagu No Msuva!!! ! First dot.
 
Naona mashabiki wa azam na yanga wamekaa jukwaa moja
 
Wakati tunaelekea katika game za mwisho-mwisho za kumaliza msimu wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom premier league).
Leo tena katika uwanja wa taifa kutakuwa na mpambano wa kuamua nani mwakani ashiriki mashindano ya CAF na nani abaki nyumbani alee watoto.
Yanga sc wataikaribisha timu ya azam fc, azam wanahitaji point 3 muhimu leo ili wajihakikishie nafasi ya mwakani kushiriki katika kombe la shirikisho baran Afrika.
Yanga wao hawana presure sana na game hii kwani tayar wameshatangazwa kama mabingwa wapya wa msimu wa 2014/2015.

Game itaanza saa 11:00 jioni kwa saa za afrika mashariki.

Live updates zitaletwa hapa hapa jf-sports.

Kulea watoto si hoja hoja nani kazaa. Watoto wetu sasa hivi bado wadogo mapacha watano waliozaliwa 2012 may, watatu 2013, wawili 2014 na huyu mmoja aliyezaliwa mwaka huu March anahitaji uangalizi wa hali ya juu wa baba.
 
Dakika ya 12 Andrey Coutinho anaiandikia yanga goli la kwanza.........kudadadeki wamesawazisha.
 
Baadaye tutawaomba wataalamu humu watupangie msimamo wa ligi kwa mechi walizocheza wenyewe kwa wenyewe Yanga, Azam na Simba
(ila hapa najiandaa kuporomoshewa matusi)
Hakuna wa kukugusa mbona wananifahamu hawakawii kushtaki.
 
Huyu "kotinyo" anatatuvurugia mipango yetu,bora atoke tuu!!!
Azam pigaaaaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom