Azam FC XI Vs Yanga; Mwadini, Himid, Gadiel, Kapombe, Aggrey, Mudathir, Braison, Domayo, Mwaikimba, Tchetche, Majwega
Young Africans S.C. XI Vs Azam FC; Deogratius, Juma, Oscar, Zahir, Pato, Telela, Mrwanda, Nizar, Tambwe, Ngasa, Coutinho
Baadaye tutawaomba wataalamu humu watupangie msimamo wa ligi kwa mechi walizocheza wenyewe kwa wenyewe Yanga, Azam na Simba
Wakati tunaelekea katika game za mwisho-mwisho za kumaliza msimu wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom premier league).
Leo tena katika uwanja wa taifa kutakuwa na mpambano wa kuamua nani mwakani ashiriki mashindano ya CAF na nani abaki nyumbani alee watoto.
Yanga sc wataikaribisha timu ya azam fc, azam wanahitaji point 3 muhimu leo ili wajihakikishie nafasi ya mwakani kushiriki katika kombe la shirikisho baran Afrika.
Yanga wao hawana presure sana na game hii kwani tayar wameshatangazwa kama mabingwa wapya wa msimu wa 2014/2015.
Game itaanza saa 11:00 jioni kwa saa za afrika mashariki.
Live updates zitaletwa hapa hapa jf-sports.
Tuli ningo, isemba ilupona we lekasi!uli mkombe.
Gooooooooli........coutinho
Gooooooooli........coutinho
Hakuna wa kukugusa mbona wananifahamu hawakawii kushtaki.Baadaye tutawaomba wataalamu humu watupangie msimamo wa ligi kwa mechi walizocheza wenyewe kwa wenyewe Yanga, Azam na Simba
(ila hapa najiandaa kuporomoshewa matusi)
Azam pigaaaaaaaaa!!!!!
YANGA1-1AZAM
Tuli ningo, isemba ilupona we lekasi!