walinunua mechi ya stendi ili washinde wakaangukia pua wakahonga tff ili wachezeshe wachezaji wenye kadi Za njano lakini pia haikuwasaidia wamebaki kubwabwaja na kutokwa mapovu midomoni Huku wakiugulia nafsini mwao hao c wengine Bali ni mambumbumbu fc aka mikia fc(PAKASHUMI)



