Ligi ya Kenya naona kama imeshuka sana

Ligi ya Kenya naona kama imeshuka sana

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Ukiangalia wachezaji wengi ni WA kawaida huenda coastal ukienda Kenya inakuwa bingwa tena bila kufungwa hasa golini akiwepo Matampi
Hapa naangalia game ya Gor na Shabana dah ni kama ndondo flani
Ila kitu nawapongeza naona Wana viwanja vizuri kuzidi NBC
Tff na bodi ya ligi wazuie kabisa baadhi ya viwanja kutumika ligi kuu.
 
Tanzania kwa Afrika ya Mashariki ni Kati, unaweza kuifananisha na England. Yaani wachezaji wengi wa hayo maeneo wanatamani kuchezea Ligi ya Bongo.

Na katika hili nampongeza Wallace Karia. Pamoja na kuendekeza kwake majungu, upigaji na ubabe wake wa kipuuzi; ila bado ameweza kuiongezea thamani Ligi yetu.
 
Nimeangalia hiyo game, ilikuwa kali ila timu zilicheza kama makolo hakuna mipango ya goli ilimradi kupasiana tu kukuru kakara kibao na mpira hauvutii, timu kali haijulikani na mbovu haijulikani ila refa mwanamke alimudu mno pambano, ni mkali kama pilipili anaona kila tukio kupita hata VAR na anakimbia kuzidi Juma Ikangaa au Kipchoge ! Kila mahali mpira ulipo nayeye black beauty yupo. Na hatishiki, Shabana walimpiga mikwara kibao!!! Marefa wa bongo wajifunze kwa yule mwamuzi demu wa Kenya , alichezesha vizuri mno na kwa haki mwanzo mwisho.

Kiwanja kina majukwaa ya ndondo cup. Ya kizamaaani!! Pitch za Kenya ni aibu, vumbi linatimka , wekeni carpet nyie wakenya boli itembee, acheni ubahili, kazi kuvaa suti na kujisifia tu!!

Kenya kwenye boli bado sana!!
 
Tanzania kwa Afrika ya Mashariki ni Kati, unaweza kuifananisha na England. Yaani wachezaji wengi wa hayo maeneo wanatamani kuchezea Ligi ya Bongo.

Na katika hili nampongeza Wallace Karia. Pamoja na kuendekeza kwake majungu, upigaji na ubabe wake wa kipuuzi; ila bado ameweza kuiongezea thamani Ligi yetu.
Karia ameongeza vipi thamani ya ligi?
 
Tanzania kwa Afrika ya Mashariki ni Kati, unaweza kuifananisha na England. Yaani wachezaji wengi wa hayo maeneo wanatamani kuchezea Ligi ya Bongo.

Na katika hili nampongeza Wallace Karia. Pamoja na kuendekeza kwake majungu, upigaji na ubabe wake wa kipuuzi; ila bado ameweza kuiongezea thamani Ligi yetu.
Uko sahihi kabisa Karia kafanya kazi kubwa sana kwa soka letu na ukweli atakae kuja baada yake ana kazi ya kufanya ila jamaa kazi kapiga tena kisomi mno mi sehemu pekee bado nailaumu hasa serikali na vilabu ni viwanja
Ila kazi imefanyika
 
Nimeangalia hiyo game, ilikuwa kali ila timu zilicheza kama makolo hakuna mipango ya goli ilimradi kupasiana tu kukuru kakara kibao na mpira hauvutii, timu kali haijulikani na mbovu haijulikani ila refa mwanamke alimudu mno pambano, ni mkali kama pilipili anaona kila tukio kupita VAR na anakimbia kuzidi Juma Ikangaa! Marefa wanawake bongo wajifunze kwa yule mwamuzi demu.

Kiwanja kina majukwaa ya ndondo cup. Ya kizamaaani!! Pitch za Kenya ni aibu , wekeni carpet nyie wakenya kazi kujisifia tu!!

Kenya kwenye boli bado sana!!
Refa alijitahidi sana lakini kwa aina Ile ya wachezaji kama yule mpiga Kona na foul wa red team ilikuwa lazima awamudu hapa kwetu game ya coastal na Namungo ilivyo na speed lazima refa achanganyikiwe
 
Ukiangalia wachezaji wengi ni WA kawaida huenda coastal ukienda Kenya inakuwa bingwa tena bila kufungwa hasa golini akiwepo Matampi
Hapa naangalia game ya Gor na Shabana dah ni kama ndondo flani
Ila kitu nawapongeza naona Wana viwanja vizuri kuzidi NBC
Tff na bodi ya ligi wazuie kabisa baadhi ya viwanja kutumika ligi kuu.
Pamoja na Azam kwenda ila bado tuu.
 
Ukiangalia wachezaji wengi ni WA kawaida huenda coastal ukienda Kenya inakuwa bingwa tena bila kufungwa hasa golini akiwepo Matampi
Hapa naangalia game ya Gor na Shabana dah ni kama ndondo flani
Ila kitu nawapongeza naona Wana viwanja vizuri kuzidi NBC
Tff na bodi ya ligi wazuie kabisa baadhi ya viwanja kutumika ligi kuu.
Yes
Leo nimeangalia gor mahia wachezaji wengi Ni ma father Kama saidoo ukimbiaji , mbinu, akili kiduchu , ligi hauna mvuto wanacheza Kama mechi za maveterani 😂😂
 
Ukiangalia wachezaji wengi ni WA kawaida huenda coastal ukienda Kenya inakuwa bingwa tena bila kufungwa hasa golini akiwepo Matampi
Hapa naangalia game ya Gor na Shabana dah ni kama ndondo flani
Ila kitu nawapongeza naona Wana viwanja vizuri kuzidi NBC
Tff na bodi ya ligi wazuie kabisa baadhi ya viwanja kutumika ligi kuu.
Ulimwona Yule straika Rasta wa Shabana anapiga Kona Kama adondoke alaf Ni li dingi utazani Ni Bonanza la maveterani 😂😂
 
Yes
Leo nimeangalia gor mahia wachezaji wengi Ni ma father Kama saidoo ukimbiaji , mbinu, akili kiduchu , ligi hauna mvuto wanacheza Kama mechi za maveterani 😂😂
Veterans pure umeona yule jamaa ras wa red team!?na ndie specialist wa Kona na faulo 😂😂😂Sasa pale Balua akienda si anakuwa Modric
Aisee league inahuzunisha commentator anakwambia "game"ilikuwa ngumu sana kwa Gor
 
Tanzania kwa Afrika ya Mashariki ni Kati, unaweza kuifananisha na England. Yaani wachezaji wengi wa hayo maeneo wanatamani kuchezea Ligi ya Bongo.

Na katika hili nampongeza Wallace Karia. Pamoja na kuendekeza kwake majungu, upigaji na ubabe wake wa kipuuzi; ila bado ameweza kuiongezea thamani Ligi yetu.
Sio Azam media ndiye aliyeipa ligi ya Tanzania thamani?
 
Back
Top Bottom