Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenzi la FIFA lina madhara makubwa sana 🐒Ukiangalia wachezaji wengi ni WA kawaida huenda coastal ukienda Kenya inakuwa bingwa tena bila kufungwa hasa golini akiwepo Matampi
Hapa naangalia game ya Gor na Shabana dah ni kama ndondo flani
Ila kitu nawapongeza naona Wana viwanja vizuri kuzidi NBC
Tff na bodi ya ligi wazuie kabisa baadhi ya viwanja kutumika ligi kuu.
KabisaLabda watajiboresha ila kwa Sasa ni veteran league
Yani yule ndie nilimuona nikasema basi tena halafu wako wawili ni bonge hatariUlimwona Yule straika Rasta wa Shabana anapiga Kona Kama adondoke alaf Ni li dingi utazani Ni Bonanza la maveterani 😂😂
Mimi namfananisha na Yule wa ihefu Rupia😊Yani yule ndie nilimuona nikasema basi tena halafu wako wawili ni bonge hatari
Mtangazaji alisema jamaa kachonga Kona nzuri ila wamaliziaji ndio hawakuwa makini 😂😂😂
Alipiga na foul Moja jamaa ni noma
Viwanja Vizuri wanavyo viwili tu pale Nairobi.Ukiangalia wachezaji wengi ni WA kawaida huenda coastal ukienda Kenya inakuwa bingwa tena bila kufungwa hasa golini akiwepo Matampi
Hapa naangalia game ya Gor na Shabana dah ni kama ndondo flani
Ila kitu nawapongeza naona Wana viwanja vizuri kuzidi NBC
Tff na bodi ya ligi wazuie kabisa baadhi ya viwanja kutumika ligi kuu.
Ile Derby yao ya Kisiasa sanaMiaka ya zamani ligi ya kenya ilikua hatari akina gor mahia, sofapaka, tusker, afc leopards ila kipnd hichi mdebwedo sana
Sio mchezo mkipigwa lile mnapoa kweli kwelikwenzi la FIFA lina madhara makubwa sana 🐒
Inawezekana na ndivyo wanavyovionesha na watu husifia kile wanachoonaViwanja Vizuri wanavyo viwili tu pale Nairobi.
Politics kills FootballNa hiyo siasa ndio iliua kabisa ligi ya Kenya na mpira wao kwa ujumla
Hapa kwetu Karia kupambana sana japo Kuna wakati anashindwa (refer mechi ya watani ilio ahirishwa 2021)
Simbezi karia hapanaTanzania kwa Afrika ya Mashariki ni Kati, unaweza kuifananisha na England. Yaani wachezaji wengi wa hayo maeneo wanatamani kuchezea Ligi ya Bongo.
Na katika hili nampongeza Wallace Karia. Pamoja na kuendekeza kwake majungu, upigaji na ubabe wake wa kipuuzi; ila bado ameweza kuiongezea thamani Ligi yetu.
Ligi ya Tanzania ina miundombinu (viwanja) vibovu sana alafu ndo ligi bora afrika masharikiInawezekana na ndivyo wanavyovionesha na watu husifia kile wanachoona
Hapa kwetu ukiangalia uwanja wa jkt,Tabora,Mkwakwani,mbeya n.k unabaki na hitimisho kuwa viwanja ni vibaya
Ukiangalia mara nyingi kocha na wachezaji huwa wanalalamika kuhusu viwanja hasa ule wa Dodoma.