Ligi ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 2 - 1 AS Club Vita | Simba yafuzu kucheza hatua ya mtoano 2019

Ligi ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 2 - 1 AS Club Vita | Simba yafuzu kucheza hatua ya mtoano 2019

Raha sana aisee watu wamefurahi kupita kiasi ila yale makandambili na roho zao mbaya kama nanihii yamenuna ile mbaya, yaone kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha wametoa ofa ya kuagiza viazi ulaya,please wawahi ndo wanarudi kesho hahahaha!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hapa pemben mwa nyumba nayoishi kuna kidimbwi na huwa nasikia kelele za vyura lakini leo kimya

Lakini waliofungwa si wakongo au Vyura wana uraia wa Congo?
 
Back
Top Bottom