Ligi ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 2 - 1 AS Club Vita | Simba yafuzu kucheza hatua ya mtoano 2019

Mkuu embu tusaidie Udhamini wa Sportpesa kwa Yanga ukoje?
 
ETI KUNA WATU WANADAI PAPAAAAAAAAA ndio aliwapa ile akili as vita ya kuingia na COASTER alafu BASI wakapanda STAFF na Mashabiki wa Clube....watalaamu wanakumbukia mechi ya simba na Yanga,...Yanga waliingia na coaster alafu basi likaja na makomando .......kweli akili za kuambiwa unachanganya na za kwako GOOD BYE VITA CLUBEEE + PAPAAAAA
 
Mungu ndiye anayejuwa wekundu walifukiaga nini pale kwa mchina,hakuna mgeni anayetokaga salama gemu za kwa mchina,hongereni sana.
 

Kwa kadri team flani inavyofanya vizuri kwenye michuano hii,nafikiri kufika kuanzia semi final,fainali yenyewe na kubeba kombe,ndivyo nafasi za hiyo nchi (ambayo team flani inatoka) zinavyoongezeka!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…