Ligi ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 2 - 1 AS Club Vita | Simba yafuzu kucheza hatua ya mtoano 2019

Simba tupo nusu fainali..Wazee wa mundende lazima tuwaninganie
 
Namcheki manara hapa anahojiwa anasema mechi ya simba juzi goli linafungwa alikuwa kishatoka uwanjani alikuwa ilala
 
Wadanganyeni Mazembe waje na gas masks kwani vyumba vinapuliziwa madawa.
Hivi ile rufaa ya AS Vita ya kupuliziwa madawa imefikia wapi?
Waliwadanganya Nkana wakawapeleka Morogoro wakapigwa. Waarabu wakawapuuzia na ujinga wao.
AS Vita maskini wakawaamini vyura na ujinga wao wa kugoma kuingia vyumbani. Matokeo tunajua.
 
Naona mnafurahia ila hyo timu ni kisanga kingine pole yenu.
 
Hv ni kwann tunapenda sana kulazimishana cha kupenda? Tatzo la moyo ukishapenda sehemu uwezi ulazimisha yani nikama ben kinyaia vile pale ndo alipopenda.
Njoo shangilia wanaume wakicheza. Hivi gemu yenu na wachovu wenzenu Alliance lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…