Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Magazeti yetu hayo! Eti, ni mchezo na timu moja tu, ikishinda, wanaingia makundi. Wakitolewa, wanakwenda shirikisho! Sijui huwa wanatoa wapi hizo habari!Mtani nauliza tu hivi baada ya hiyo mechi ndio mnakwenda makundi ama?
Nyie si ndio katika wale nane. Teh teh
haina kabaya;Hakuna ganda la ndizi, waliofika kuanzia nusu fainali ndio weΓ±ye uhalali huo
Msimu ulipita Yanga walipigiwa mpira mwingi sana, pasi za hapa na pale hadi golini na Township Rollers...Safari hii huenda wakaomba mechi yao ibadilishwe..!
OK, michuano ya Kimataifa Yanga walikutana na Township...Hapo veeep?
Kwaiyo taarifa kwamba msimbazi tutanzia hatua ya 32 bora zilikuwa niza uongo
Game ya Taifa yanga alikufa 2 bila golikipa alikuwa Ramadhani Kabwili.Acha uongo. Game ya Taifa iliisha 0-0
Aibu gani kama timu ilifika 8 bora msimu uliosha kipi chakushangaza32 bora?aibu nimeona mimi
goli la pili zilipigwa pasi kama khamsini hiviAngalia hiyo hapo halafu uniambie mwenyeji alikuwa nani..Usije unavamia kambi tu ilhali huna ulijualo kwa hilo..!View attachment 1159017
Aibu gani kama timu ilifika 8 bora msimu uliosha kipi chakushangaza
Muda utaongea Mtani. Tusubiri tuone.Hahahaha unatamba mtani!
Sema wewe safari hauna; ukivuka apo unakutana na zesco ya lwandamila
Na alivo na hasira na nyinyi hamkumlipaga mishahara yake
Nini lakini Ses bana. Wacha kutuombea njaa basi.Mliwapigia mwingi halafu wakawapakata hapohapo kwa Mchina! Kwenye historia haiwezi kuandikwa hivyo. Historia inasema mlichezea kichapo nyumbani, full stop.
Na mwaka huu watafanya vilevile
Hahahaaaa. Hamnaga vitu ka hivyo kwamba mkiishia hatua fulani basi msimu ujao mtafikia zaidi ya pale. Duuuh.Mshabebwa sasa mnaanza kelele eeh Shadeeya !
Mtaanza kutolewa nyie huku sisi tukichanja mbuga, safari hii kama kuna brake kwa SSC basi ni nusu fainali
Si mnasemaga nyie daima mbele? Labda kwenye kutolewa. Mbele yenu nyuma yetuπππ
Yaani walitamba sana siku hiyo kumbe habari ni za uzushi. Lol.Magazeti yetu hayo! Eti, ni mchezo na timu moja tu, ikishinda, wanaingia makundi. Wakitolewa, wanakwenda shirikisho! Sijui huwa wanatoa wapi hizo habari!
Nacheka tu hapa Mtani leo.Aibu gani kama timu ilifika 8 bora msimu uliosha kipi chakushangaza
Yawezekana... nikibisha kwa hili soka nitakuwa silijui mkuuMkuu, mpira una maajabu sana. Yawezekana pia Mnyama akaishia hapo!
Hilo la lifti litabaki vilevile mtani.. ndio ukweli ulivyo.Halafu wanajifanya kama hawalioni hili swali eti Mkuu. Watuambie tu tujue kulikoni mtoa lifti na mpewa lifti wote wanakaa sehemu moja?
3llyEmma itakuwa jibu unalo Mtani.
Kumbe iliwauma kiasi hiki?Yaani walitamba sana siku hiyo kumbe habari ni za uzushi. Lol.
Swahiba brave one hivi sio wewe kweli ulituletea ule uzi kwamba mnacheza mechi moja tu na kuingia makundi? π
Nchagulie timu100 Likes , Mtoto halali na hela , Van pebles Shunie mmeadimika watani haya mrudi msimu wa soka umeshawadia.