Ligi ya Mabingwa Afrika 2019/20 Simba SC dhidi ya UD do Songo, Yanga SC dhidi ya Township Rollers

Kwa takwimu nilizozipata UD Songo siyo timu ya mchezo ingawa wengi wa wachezaji wake umri umesogea. Katika CAF Champion league 2018, hawa jamaa waliwafunga TP Mazembe 3-0 pale Msumbiji.





 
Iume wapi Mtani. Ila ndio muachage kuwa na akili kama za Manara sababu si ajabu wenzenu wengine hawaamini kilichotokea.
Imewapa tabasamu katikati ya maumivu makali yanayosababishwa na ukata klabuni!!

Hamia SIMBA!!

Mbona kingunge aliachanaga na ukingunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…