MAMELOD alifika semi final lakin anaanzia hatua ya awali..Hakuna ganda la ndizi, waliofika kuanzia nusu fainali ndio weñye uhalali huo
Hahahaaaa. lol.Hilo la lifti litabaki vilevile mtani.. ndio ukweli ulivyo.
Ila simba kucheza game 1 ilikuwa TANGO PORI
ATI MAKIRIKIRI... ALEH MAKIRIKIRI... KAMA NAWAONA VILE X3.Aisee mbumbumbu mnaanzia ugenini basi hamsa hamsa itakuwepo kama kawaidaa
Iume wapi Mtani. Ila ndio muachage kuwa na akili kama za Manara sababu si ajabu wenzenu wengine hawaamini kilichotokea.Kumbe iliwauma kiasi hiki?
Sisi hatukujua yote haya!!!! Hahaaaaahaa.
Mmejipa kibarua cha kutaja mafanikio ya MNYAMA.
SIMBA NGUVU MOJA
Yanga timu ya Wananchi.Nchagulie timu
Imewapa tabasamu katikati ya maumivu makali yanayosababishwa na ukata klabuni!!Iume wapi Mtani. Ila ndio muachage kuwa na akili kama za Manara sababu si ajabu wenzenu wengine hawaamini kilichotokea.
Nimeona tu % ya possessionAngalia hiyo hapo halafu uniambie mwenyeji alikuwa nani..Usije unavamia kambi tu ilhali huna ulijualo kwa hilo..!View attachment 1159017
Basi niko upande wako msimu wote ujaoYanga timu ya Wananchi.
Usijali Baba Swalehe ntakuwa nakutag uje tuwafunge midomo hawa Mkia. 😀😀😀Basi niko upande wako msimu wote ujao
Inabid tumchukue pogba naskia hna timu
Mkumbushe kama ana kitambi asisumbuke Fanya mazoezi kitaisha chenyewe automatic kwa kuipenda yangaYanga timu ya Wananchi.
Nimecheka kwa sauti lol. Mtani hebu muache Baba Swalehe aje apumzishe akili kwenye timu ya wananchi.Mkumbushe kama ana kitambi asisumbuke Fanya mazoezi kitaisha chenyewe automatic kwa kuipenda yanga
Boss kashatulia sasa hivi;Nimecheka kwa sauti lol. Mtani hebu muache Baba Swalehe aje apumzishe akili kwenye timu ya wananchi.
Kwanza kule kwenu kunafuka moshi. 😜
Haya bana Mtani. Kila la kheri katika kuwapunguza hao mbu.Boss kashatulia sasa hivi;
Alafu Leo nikobize sana
Tupo matembezeni apa, usije ukasababisha nakawa fired kwenye wizara afya
View attachment 1159360
Alafu township kumbe yupo kwenye ratiba zetu mtani ndo naona hapaHaya bana Mtani. Kila la kheri katika kuwapunguza hao mbu.
Mtani umefanya nikumbuke hii kauli ya yule musonye ambayo kwa asilimia kubwa inawagusa Mtani.Alafu township kumbe yupo kwenye ratiba zetu mtani ndo naona hapa
View attachment 1159366
Kama mkifanikiwa kufanya hivyo uje uchukue zawadi yako ila nawaonea huruma kitachowapataNini lakini Ses bana. Wacha kutuombea njaa basi.
Tunajipanga kufuta uteja na kuwatoa kabisa Ses. Hutaamini.
Tusubiri tuone.Kama mkifanikiwa kufanya hivyo uje uchukue zawadi yako ila nawaonea huruma kitachowapata