Ligi ya Mabingwa Afrika 2019/20 Simba SC dhidi ya UD do Songo, Yanga SC dhidi ya Township Rollers

Hahahaaaa. Hamnaga vitu ka hivyo kwamba mkiishia hatua fulani basi msimu ujao mtafikia zaidi ya pale. Duuuh.

Wacha nisubiri Shadeeya wa watu nione kama hii kauli yako itatimia Ses.
Tuombe uzima tu ili tukutane hapa wewe mwenyewe ukiwa shahidi, ila nitakapokukumbusha wakati huo usije na wewe ukasema 'Sesten kausha"😂😛🤣
 
Lets put our hope this time around....simba watafanya vyema
 
Njia unakosea wakati wa kwenda tu.

Yanga Daima mbele,nyuma mwiko
 
KIKOSI KILICHOCHEZA DHIDI YA TOWNSHP ROLLERS MARCH 2018 CHINI YA LWANDAMINA.

Kabwili, Kessy, Dante, Yondani, Ngonyani, Makapu, Tshitshimbi,Buswita, Chirwa, Ajib, Marthin

Kwasasa wamepotea njia kwakweli
 
Simba angekutana na Zesco hatua ya mtoano tungesikia Hemed Kivuyo akisema simba wamekufa kiume na ndio kocha angefukuziwa hapo.
 
Simba angekutana na Zesco hatua ya mtoano tungesikia Hemed Kivuyo akisema simba wamekufa kiume na ndio kocha angefukuziwa hapo.
Hizo kwaya zenu nawaonea huruma... (Makirikiri wameanza safari kuja kufanya yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…