Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Tuombe uzima tu ili tukutane hapa wewe mwenyewe ukiwa shahidi, ila nitakapokukumbusha wakati huo usije na wewe ukasema 'Sesten kausha"😂😛🤣Hahahaaaa. Hamnaga vitu ka hivyo kwamba mkiishia hatua fulani basi msimu ujao mtafikia zaidi ya pale. Duuuh.
Wacha nisubiri Shadeeya wa watu nione kama hii kauli yako itatimia Ses.
Hahahaaa. Sawa Ses. Ila mi sio kama OKW BOBAN SUNZU bana. 🏃♀️🏃♀️🏃♀️Tuombe uzima tu ili tukutane hapa wewe mwenyewe ukiwa shahidi, ila nitakapokukumbusha wakati huo usije na wewe ukasema 'Sesten kausha"😂😛🤣
Inshaallah😛Tusubiri tuone.
Ipo kama kawaida, ni marekebisho tuKwa maana iyo simba day 8/8 imeota mbawa
Hahaha we unafikiri huyu mzima;Mtani umefanya nikumbuke hii kauli ya yule musonye ambayo kwa asilimia kubwa inawagusa Mtani.
Nilicheka sana nilipoona hiyo video Mtani. Ila kasema nendeni mkashangae takataka. 😀😀😀😀Hahaha we unafikiri huyu mzima;
Tarehe nane ifike
Mtandao usiwe chini tu.
[emoji28][emoji28]Usijali Baba Swalehe ntakuwa nakutag uje tuwafunge midomo hawa Mkia. [emoji3][emoji3][emoji3]
Duuh! Pogba tena. [emoji15] lol
Njia unakosea wakati wa kwenda tu.Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), leo Jumapili Julai 21, 2019 limetoa ratiba ya awali ya michezo ya ligi ya mabingwa wa Afrika CAFCL msimu ujao 2019/2020 ambapo wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano hiyo Simba na Yanga wamepangwa kuanza na timu kutoka ukanda wa COSAFA (kusini mwa Afrika).
Mabingwa wa Tanzania Simba SC, wamepangwa kuanza na UD do Songo ya Msumbiji na wataanza ugenini huku Yanga SC, walioshika nafasi ya pili msimu uliopita kwenye ligi kuu Tanzania wakipangwa kuanzia nyumbani dhidi ya Township Rollers FC ya Botswana.
Kwa mijibu wa ratiba mechi za kwanza za raundi ya kwanza zitapigwa kati ya Agosti 9, 10, na 11 huku mechi za marudiano zikipigwa kati ya Agosti 23, 24, na 25.
Endapo Simba SC na Yanga SC wanafanikiwa kupenya kwenye hatua hiyo, wataingia kwenye raundi ya pili ambapo Simba SC, inakutana na mshindi kati ya Nyasa Big Bullets ya Malawi dhidi ya FC Platinum ya Zimbabwe huku Yanga SC ikikutana na Green Mamba ya Eswatini dhidi ya Zesco United ya Zambia.
Mechi za raundi ya pili zitapigwa kati ya Septemba 13, 14 na 15 na marudiano itakuwa kati ya Septemba 27, 28, na 29.
View attachment 1158995
Boss kashatulia sasa hivi;
Alafu Leo nikobize sana
Tupo matembezeni apa, usije ukasababisha nakawa fired kwenye wizara afya
View attachment 1159360
Ilipaswa iwe hivyo but kanuni zimebadilika...hata fainali sahivi itakuwa ni mechi moja tuKwaiyo taarifa kwamba msimbazi tutanzia hatua ya 32 bora zilikuwa niza uongo
Kwani mwaka jana hatukuanzia awali....alafu ni lini mliwahi sema tutavuka hatua yoyote???Simba nawaona mlivyonuna kuanzia awali, kumbe na nyie bado sana, alafu hamtavuka hii hatua " tafadhari mark my word" huo ndiyo ukweli.
OK nimekupata mkuuIlipaswa iwe hivyo but kanuni zimebadilika...hata fainali sahivi itakuwa ni mechi moja tu
Nenda CAF kaulize😃😃Simba tunaanzaje sawa na vyura fc
Hizo kwaya zenu nawaonea huruma... (Makirikiri wameanza safari kuja kufanya yaoSimba angekutana na Zesco hatua ya mtoano tungesikia Hemed Kivuyo akisema simba wamekufa kiume na ndio kocha angefukuziwa hapo.
Ok lakini itafanyika ikiwa mashindano na ligi zote zimeanza itakuwa tumewajua wachezaji na mvuto wa sherehe itakuwa umepotea mkuu.Ipo kama kawaida, ni marekebisho tu
Tareh ngapi mkuu?Ok lakini itafanyika ikiwa mashindano na ligi zote zimeanza itakuwa tumewajua wachezaji na mvuto wa sherehe itakuwa umepotea mkuu.
Mkuu simba day itakuwa imeota mbaya bila shakaHili bandiko la Waziri Ummy linaniacha hoi sana..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]