OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu mkijibiana hilo swali unitag na mie. Maana hatukunywa maji na hii habari.Kwaiyo taarifa kwamba msimbazi tutanzia hatua ya 32 bora zilikuwa niza uongo
Yamekuwa hayo Mtani. Kinyoonge zaidi.Ila haina mbaya!
Nakazia. 😎😎Simba nawaona mlivyonuna kuanzia awali, kumbe na nyie bado sana, alafu hamtavuka hii hatua " tafadhari mark my word" huo ndiyo ukweli.
Mtani nauliza tu hivi baada ya hiyo mechi ndio mnakwenda makundi ama?UD DE SONGO Masikini ya MUNGU wametumbukizwa kwenye tanuli la moto bila kujijua.
Acheni kuzuga basi na nyie Mtani imekuwaje tena mnaanzia huko chini pamoja na wale mliowapa lifti yaani hamna utofauti. Kwa nini sa?Timu kigogo Simba kapangwa na timu ndogo Do Songo
Timu ngumu Township Rollers kapangwa na timu kibonde Yanga. Huu mlinganyo umeuelewa mtani Shadeeya ?
Tuliwapigia mwingi sana Taifa ila ndio haikuwa bahati yetu tu na hata ball possession inaonyesha Mtani.Timu kigogo Simba kapangwa na timu ndogo Do Songo
Timu ngumu Township Rollers kapangwa na timu kibonde Yanga. Huu mlinganyo umeuelewa mtani Shadeeya ?
Manara huyo amewaharibu Mkuu.Hahaha ila simba tuna maneno bhana!!
Hahahaha unatamba mtani!Yamekuwa hayo Mtani. Kinyoonge zaidi.
Kwahyo ñawewe uliamini mtaanza hvyo?Kwaiyo taarifa kwamba msimbazi tutanzia hatua ya 32 bora zilikuwa niza uongo
Jamaa alikua yupo kijiweni na wanywa kahawa wenzakkeAngalia hiyo hapo halafu uniambie mwenyeji alikuwa nani..Usije unavamia kambi tu ilhali huna ulijualo kwa hilo..!View attachment 1159017
Wazee wa kitonğaSimba tunaanzaje sawa na vyura fc
TFF na CAF hata juzi walitoa list ya timu 20 ambazo zilikuwa na nafasi ya kuanzia 32 bora; kila mtu alikuwa anajua hilo mpaka nyie viti maalum tuliowapa lift mlikuwa mnalijua hilo.Kwahyo ñawewe uliamini mtaanza hvyo?
Umbūmbumbu mzigo
Mliwapigia mwingi halafu wakawapakata hapohapo kwa Mchina! Kwenye historia haiwezi kuandikwa hivyo. Historia inasema mlichezea kichapo nyumbani, full stop.Tuliwapigia mwingi sana Taifa ila ndio haikuwa bahati yetu tu na hata ball possession inaonyesha Mtani.
Ila safari hii tutarekebisha makosa Mtani na hii kauli yenu ya kwamba sisi ni vibonde haitakuwepo tena
Hakuna ganda la ndizi, waliofika kuanzia nusu fainali ndio weñye uhalali huoTFF na CAF hata juzi walitoa list ya timu 20 ambazo zilikuwa na nafasi ya kuanzia 32 bora; kila mtu alikuwa anajua hilo mpaka nyie viti maalum tuliowapa lift mlikuwa mnalijua hilo.
Tukutane viwanjani mnao mabwana zenu township ambao hamna istoria ya kuwafunga na hata mkivuka apo mtaishia mikononi mwa zesco mnarudi mlipozea mchangani
Mshabebwa sasa mnaanza kelele eeh Shadeeya !Halafu wanajifanya kama hawalioni hili swali eti Mkuu. Watuambie tu tujue kulikoni mtoa lifti na mpewa lifti wote wanakaa sehemu moja?
3llyEmma itakuwa jibu unalo Mtani. 😂😂😂
Mkuu, mpira una maajabu sana. Yawezekana pia Mnyama akaishia hapo!Hawa UD Songo wameingia cha kike... sijui kwa wale Frog Fc?