Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kufungwa wafungwe mbambane povu watoe yangaWa matopeni wa matopeni tuuu...mbute mbute waliko wanaliaa
Hapo sasaa...pili pili ya shamba etiiiKufungwa wafungwe mbambane povu watoe yanga
Inasikitisha na kuhuzunisha mtoto mrembo km wewe kushabikia timu inayovaa matambara ya waganga wa kienyeji,aiseeHahaaa....jipe moyoooooooo
Hahahhaha pili sio yako ya kuwashia niniiii wakwendreeeee ukoHapo sasaa...pili pili ya shamba etiii
Hii umecopy sehemu [emoji23][emoji23]Kufungwa wafungwe mbambane povu watoe yanga
Yaani Mimi vyura naona hamjielewi etii!!jezi zenu mbayaaa....mpk wenyewe...Inasikitisha na kuhuzunisha mtoto mrembo km wewe kushabikia timu inayovaa matambara ya waganga wa kienyeji,aisee
Hahahhaha pili sio yako ya kuwashia niniiii wakwendreeeee uko
Mtasema yoteeeeHii umecopy sehemu [emoji23][emoji23]
Yaani Mimi vyura naona hamjielewi etii!!jezi zenu mbayaaa....mpk wenyewe...
Woyooooooo
Hii umecopy sehemu [emoji23][emoji23]Kufungwa wafungwe mbambane povu watoe yanga
Walaaa sijacopy sehemu mmHii umecopy sehemu [emoji23][emoji23]
Wewe jezi zetu zinakuhusu nnHii umecopy sehemu [emoji23][emoji23]
Jezi zinafanana na nguo anazovaa manyau nyau!hatari sana
Hamia Yanga mkwe uje kula bata,Yanga ni kazi na bata,huko uliko stress tupuWewe jezi zetu zinakuhusu nn
Shiii nipo mwenge hapa karibu na alipopanga leo ni leo simkomoi ila natimiza vigezo na masharti mbona mwenyewe katoa ofa huyu mndambaKaahh
Hatusemi leo Mikia inatikisika tuMikia wamewafunga wachuma mapeasi..kelele mjini
Halafu nafasi ya 3 kazidiwa point 11Mechi mbili mabao 8 na Kocha Patrick Aussems, hajajikuna wala hajalia mbele ya Media
Alisikika mlevi mmoja hivi akizungumza[emoji23][emoji91][emoji23]
Tumeshamaliza kuwapa malofa wenzio dose stahiki huko eSwatini, tunakuja kuanza kuwashughulikia barabara nyie visokorokwinyo, mtakaa kimya tu.Halafu nafasi ya 3 kazidiwa point 11