Ligi ya Mabingwa Afrika nchini eSwatin: Mbabane Swallows 0 - 4 Simba SC

Mechi mbili mabao 8 na Kocha Patrick Aussems, hajajikuna wala hajalia mbele ya Media

Alisikika mlevi mmoja hivi akizungumza[emoji23][emoji91][emoji23]
Halafu nafasi ya 3 kazidiwa point 11
 
Halafu nafasi ya 3 kazidiwa point 11
Tumeshamaliza kuwapa malofa wenzio dose stahiki huko eSwatini, tunakuja kuanza kuwashughulikia barabara nyie visokorokwinyo, mtakaa kimya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…