Ligi ya Mabingwa Afrika nchini eSwatin: Mbabane Swallows 0 - 4 Simba SC

Ligi ya Mabingwa Afrika nchini eSwatin: Mbabane Swallows 0 - 4 Simba SC

Simba sio timu ya mchezo mchezo, ni timu tishio kabisa kwenye bara Africa kwa sasa.
 
Mapumziko
IMG_20181204_171921_909.jpeg
 
Wanabagua sana michezo ya Africa. Zingekua timu za ulaya hata daraja la 8 matokeo yao yanawekwa saa hio hio.
Wapuuzi sana
wanzngua kinoma yahn hata statistics hawajaweka hawa jamaa wapuuzi sana hafu ni wote sio mmoja yahn.
 
Back
Top Bottom