Simba inashuka uwanjani katika mechi ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 4-1 walioupata kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Novemba 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Tujuzane yanayojiri. Je mpira utachezwa saa ngapi?
====
UPDATES:
Pambano la marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Mbabane Swallows na Simba SC unaopigwa kuanzia saa 10:30 Mavuso nchini eSwatin uwanja wa Mavuso.
Dakika ya 28:
Simba wanatangulia kupata bao kupitia kwa Clatous Chama.
Mbabane Swallows 0-1 Simba SC.
Dakika ya 33:
Clatous Chama anaifungia Simba bao la pili.
Mbabane Swallows 0-2 Simba SC.
Dakika ya 53:
Emmanuel Okwi anaifungia Simba bao la tatu dakika ya 52.. Mbabane Swallows 0-3 Simba SC (Agg: 1-6).
Dakika ya 85:
Mbabane Swallows 0-4 Simba SC. Bao la nne la Simba limetoka kwa MK14 Meddie Kagere. (Agg: 1-8).
Dakika 90:
Mpira umemalizika, Simba wanasonga mbele kwa jumla ya mabao 8-1 baada ya leo kushinda 4-0 kwenye mchezo wa maruadiano.
FT: Mbabane Swallows 0-4 Simba SC (Agg: 1-8).
Tujuzane yanayojiri. Je mpira utachezwa saa ngapi?
====
UPDATES:
Pambano la marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Mbabane Swallows na Simba SC unaopigwa kuanzia saa 10:30 Mavuso nchini eSwatin uwanja wa Mavuso.
Dakika ya 28:
Simba wanatangulia kupata bao kupitia kwa Clatous Chama.
Mbabane Swallows 0-1 Simba SC.
Dakika ya 33:
Clatous Chama anaifungia Simba bao la pili.
Mbabane Swallows 0-2 Simba SC.
Dakika ya 53:
Emmanuel Okwi anaifungia Simba bao la tatu dakika ya 52.. Mbabane Swallows 0-3 Simba SC (Agg: 1-6).
Dakika ya 85:
Mbabane Swallows 0-4 Simba SC. Bao la nne la Simba limetoka kwa MK14 Meddie Kagere. (Agg: 1-8).
Dakika 90:
Mpira umemalizika, Simba wanasonga mbele kwa jumla ya mabao 8-1 baada ya leo kushinda 4-0 kwenye mchezo wa maruadiano.
FT: Mbabane Swallows 0-4 Simba SC (Agg: 1-8).