Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni time zone ya SA babuu.ngoma kumi kama kawaKwa mujibu wa livescore game ni saa nane na nusuView attachment 955650
Wabongo bana,hiyo ni ya nchi gani na wewe upo nchi gani,mbona unatutia aibuKwa mujibu wa livescore game ni saa nane na nusuView attachment 955650
Mkuu mechi itaoneshwa channel gani ?Wabongo bana,hiyo ni ya nchi gani na wewe upo nchi gani,mbona unatutia aibu
Ni ngumu,mbabane funga hao simba 4-0
Mbinu za kuwafunga kisaikolojia,hawa jamaa ni wahuni,washenzi na wanyama sana,Watanzania tusiwe na short memories je tunakumbuka Azam FC walivyofanyiwa pale Uswati?kuna watanzania walipigwa na kuumizwa,wachezaji wa Azam FC walifanyiwa vitendo visivyo vya kimichezo na kucheza ile game na wasiwasi;its time now na sisi twende jino kwa jino tunawakaribisha kiungwana kabisa ila kwao wanageuka na kuwa wanyama,we as Tanzanians tumejinyima mno na kuonyesha ukarimu kwa watu hawa wa kusini ila wao they are treating as very badly.
NdioNdiyo Wale Mliosema Wakija Dar es salaam
Mashabiki Watawakuta Huku Tanzania
Hakuna jibu hapaMkuu mechi itaoneshwa channel gani ?
Mbabane baada ya kuchunguliwa taifaKila la kheri Mbabane swallows
Azam Sports HD mechi iko LiveAzam wataonesha?
Mkuu mechi itaoneshwa channel gani ?
AzamHakuna jibu hapa