DuuhAjabu kapigwa punda wa nyuma lakini anaelia ni punda wa mbele. Kafungwa Mbabane lakini anayelia na kuweweseka ni chura.
Anayeshuhulikiwa yupo kitandani wewe unakata kiuno dirishani ajabu.
Namkubali sana HD24.Huyu HD angeingia mapema jamaa wangeondoka na kapu la magoli
Au maji yamekaushwa na mbungi la simba lunyasi hapo taifa?Hawasikiki kabisa nadhani nao wamekufa
Mkuu, hii staili ya mnyama ilikuwa inatumiwa sana na bruce lee. Anapiga wa mbele ila anayeumia ni wa nyima au anakupiga leo ila kesho ndio panauna. Ndala wanaumia sana.Ajabu kapigwa punda wa nyuma lakini anaelia ni punda wa mbele. Kafungwa Mbabane lakini anayelia na kuweweseka ni chura.
Anayeshuhulikiwa yupo kitandani wewe unakata kiuno dirishani ajabu.
Ile penetration pasi aliyomuwekea Chama ni nadra sana kupata mambo matamu kama yale vyura fc.Namkubali sana HD24.
Ile penetration pasi aliyomuwekea Chama ni nadra sana kupata mambo matamu kama yale vyura fc.
Yaani Waja Hamkosi La kukosoa.Anawaonea akina mbabbane, ngoja akutane na vidume akina Raja/Wydad casablanca atakunywa nyingi sana huto mnyama weyu.
Nasikia simba dume amepita haya maeneoAu maji yamekaushwa na mbungi la simba lunyasi hapo taifa?
Jamaa pasi zake ni HDNamkubali sana HD24.
Dua imekataliwa kwa kua imejaaa unaafikiiiAisee... Sasa nafuta sala zangu... Mpigwe goli 2... Na iwe FT SIMBA 0 - 2 MBBNE ...
Ewe mungu baba, mueza juu kila kitu, usiyeshindwa jambo lolote mbele yako, baba muumba mbingu na ardhi, na kila vilivyomo kwenye ulimwengu huu...
Nina ombi moja kwako leo baba... Baba naomba ujaalie timu ya simba ifungwe goli mbili tu wala sio yingi baba...
Baba hawa simba wanajikuta wao ni Barcelona ya Tanzania... Kumbe hawana lolote la maana... Timu imejaa wazee waongo wanaodanganya umri wao.. baba jaalia kabisa na wafungwe mechi ya marudiano...
Baba naamini umesikia ombi langu baba... Hakika wewe ni msikivu mwenye kujibu shida za wanyonge...
Aaamiiin
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hongereni sanaDua imekataliwa kwa kua imejaaa unaafikiii
sijaona ilikuwajeUlitaka ayamwage kitandan?
Hahaaaahaaa...we kaka umenichekesha balaa!!!eti sura zao sio ngeni dar..kaahMtangazaji anakuambia anawaona mashabiki wengi sana wa Mbabane wamesafiri na team kutoka Eswatini lakini wengi sura zao sio ngeni ndani ya viunga vya jiji la Dar [emoji23][emoji23]
HahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAjabu kapigwa punda wa nyuma lakini anaelia ni punda wa mbele. Kafungwa Mbabane lakini anayelia na kuweweseka ni chura.
Anayeshuhulikiwa yupo kitandani wewe unakata kiuno dirishani ajabu.
Anawaonea akina mbabbane, ngoja akutane na vidume akina Raja/Wydad casablanca atakunywa nyingi sana huto mnyama weyu.
Alienda Misri ameshindwa huku si jalalani ndio maana anaonekana mzuriKuna kila sababu za kumpeleka CHOTA CHAMA Ulaya hata kwa nguvu, huku bongo anapoteza muda tu.
Jamaa anajua hadi kivuli chake kinapiga chenga.. Ni balaa