Ligi ya Mabingwa Afrika: Simba SC 4-1 Mbabane Swallows

Kipa Manula ana haja ya kupumzishwa mechi nyingine, mechi zote za Timu ya Taifa na Simba kipa ni yeye tu.
Ivi hakuna makipa wengine ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtangazaji anakuambia anawaona mashabiki wengi sana wa Mbabane wamesafiri na team kutoka Eswatini lakini wengi sura zao sio ngeni ndani ya viunga vya jiji la Dar [emoji23][emoji23]
 
Reactions: Tui
Bwawa limekauka unacheza na ukame. Wamepiga magoti haijasaidia.Chura wapo jangwani wanaweweseka.
 
Nasikia tripple C amepita hapo kamwaga mafuta ya taa kwenye Hilo dimbwi
Ata mimi nimepata taarifa hizo mkuu, kwasababu ya mafuta ya taa aliyomwaga vyura wote wamekufa kwa kukosa hewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…