Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), limetangaza ratiba ya michuano ya mabingwa wa Afrika na Kombe la Shirikisho barani Afrika katika ngazi za vilabu.
Katika ligi ya mabingwa barani Afrika mabingwa wa Tanzania Simba Sports Club, watakuwa nyumbani Novemba 27/28, 2018 kupambana na Klabu ya Mbabane Swallows, kutoka nchini Swaziland katika hatua ya awali na baadaye kurudiana kati ya Desemba 4/5, 2018 nchini Swaziland.
Na Kombe la Shirikisho barani Afrika, timu ya Mtibwa Sugar, nao wataanzia nyumbani kubabiliana na Northern Dynamo, ya Shelisheli Novemba 27/28, 2018 na kurudiana Kati ya Desemba 4/5, 2018 nchini Shelisheli.View attachment 927780
Katika ligi ya mabingwa barani Afrika mabingwa wa Tanzania Simba Sports Club, watakuwa nyumbani Novemba 27/28, 2018 kupambana na Klabu ya Mbabane Swallows, kutoka nchini Swaziland katika hatua ya awali na baadaye kurudiana kati ya Desemba 4/5, 2018 nchini Swaziland.
Na Kombe la Shirikisho barani Afrika, timu ya Mtibwa Sugar, nao wataanzia nyumbani kubabiliana na Northern Dynamo, ya Shelisheli Novemba 27/28, 2018 na kurudiana Kati ya Desemba 4/5, 2018 nchini Shelisheli.View attachment 927780