Ligi ya Mabingwa Afrika: Simba yapewa Mwarabu (Al Ahly) na Mcongo (As Vita Club)

Yanga haya magroup hayawahusu, maana hamjapangwa hapo
 
Hahahahahahahahah...Sifa kuu ya Mtanzania ni UNAFIKI, MAJUNGU na UMBEA tu....Endelea kufua nguo za shemeji yako.
 
Mkuuundu wako pia tuliupulzia pia mbona husemi
 

Kama hayo malalamiko yao yakikuwa na mashiko na ukweli, kwa nini wasingeyapeleka kunapostahili?
Na kama pengine walipeleka mbana hakukuwa na taarifa za uthibitisho kuwa kweli walipuliziwa hizo dawa vyumbani?
Yaani nyie mautopolo sijui mnashikiwa akili na nani..!?

Tunaona hata baada ya simba kumfunga platnum, kuna waandishi uchwara ambao ni mashabiki wa utopolo wanadae eti simba ushindi wa simba ni nje ya uwanja kwa asilimia 60 sijui 80, wakiambiwa wathibirishe wanajing'ata ng'ata!
Hapo kwenye huo mpangilio hamna cha kisasi wala nini, imetokea tu coincidence zikakutana tena, sasa wewe endelea kutoa mapovu yako kwamba simba itafungwa 10 huko, mwisho wa siku utabaki na mihasira yako tu kama ilivyotokea baada ya platnum kupigwa nne!
Najua hutaki kabisa na hutopenda kuona simba ikisonga kwenye hilo kundi lakini, nikueleze tu utaduwaa na roho yako!
Si ajabu ukaiona simba nusu fainali msimu huu, au hata fainali kabisa sijui utaficha wapi uso wako! Utapasuka kwa hasira aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…