Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Kwa backline ile ya simba wakifuzu sjui

Simba akifuzu ntakata gogo hapa Jf kuanzia jukwaa la MMU mpaka jukwaa la siasa huku Kiduku Lilo akifanya kazi ya kuzoa
Haina shida, tunashukuru kwa maneno yako ya kejeli
 
Yule kipa tulimwazima kutoka jangwani yuko wapi kwanini adake huyu jamaa asiye na uwezo
 
Timu zinaingia uwanjani. Hali ni shamrashamra uwanja unaendelea kujaa. Mashabiki endeleeni kuja kwa wingi
 
Back
Top Bottom