Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

View attachment 1189667
Kikosi cha Mnyama

Haya wanaJF ziimebaki dakika chache kuelekea mpambano mkali kati ya Simba Sc na UD Songo.

Mtangazaji wako mwandamizi kwa kushirikiana na wadau wote muhimu tunakueletea moja kwa moja kambumbu kutoka uwanja wa Taifa.

Hamasa ya mashabiki ni kubwa sana. Uwanja wa Taifa unaendelea kujaa.

John Bocco (Captain) ana mgomo baridi? Hayupo kabisa katika hii list. Anyway wana Simba mna LA kujibu hapo. Nawatakia mlio wana Simba kila LA kheri.
 
View attachment 1189667
Kikosi cha Mnyama

Haya wanaJF ziimebaki dakika chache kuelekea mpambano mkali kati ya Simba Sc na UD Songo.

Mtangazaji wako mwandamizi kwa kushirikiana na wadau wote muhimu tunakueletea moja kwa moja kambumbu kutoka uwanja wa Taifa.

Hamasa ya mashabiki ni kubwa sana. Uwanja wa Taifa unaendelea kujaa.
MWENYE ONLINE LINK INAYOONYESHA LIVE AWEKE HAPA
 
Back
Top Bottom