Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Poleni sana! Muhimu wakati mwingine basi mjitahidi kupunguza maneno. Na ikibidi yule msemaji wenu yuleee; mpigeni chini maana anachangia pa kubwa kwenye kuiharibu timu. Mpira unachezwa uwanjani, na siyo mdomoni.
Kabisa. Anaongea halafu kama msemaji kutwa kuisema team nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…