Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Loads of rubbish!
 
Kotei aliwabeba sana pale nyuma. Pengo lake kama liko wazi vile! Halafu walimpotezea Lamine Moro ambaye amekuwa ni lulu upande ule wa pili. Tunawashukuru sana kwa kumfanyia majaribio kwa niaba yetu.
Simba tunae Fragha, mzuri kuliko Kotei kocha tu ndio hajui.
 
Tungetolewa na wale waswana kesha nyie mkawatoa hawa UD SONGO kelele zingekuwa nyingi humu kuwa hatuna jema wala fadhila .Mungu fundi ndege mtapanda ndani ya mipaka yetu ya nchi fullstop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…