Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Hahaha OKWI BOBAN [emoji1787][emoji1787][emoji2] huyu jamaa Kila kukicha thread za Yanga mara ooo KMC na YANGA zitaanza kutoka mpira hauna adabu
 
Mkuu hufai kuwa daktari aise,
THIS IS THIMBA MKO WAPI? [emoji706][emoji706]


MANARA UTAWAAMBIA NINI WATU?
MO DEWJI HELA ZAKO ZA UWEKEZAJI UMEWEKEZA BURE....MANARA ALIKUPIGA TANTARIRA ETI OOOH MWAKA HUU TUNACHUKUA CAF CHAMPIONS LEAGUE...Sasa sijui atakuangaliaje?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 1189667
Kikosi cha Mnyama

Haya wanaJF ziimebaki dakika chache kuelekea mpambano mkali kati ya Simba Sc na UD Songo.

Mtangazaji wako mwandamizi kwa kushirikiana na wadau wote muhimu tunakueletea moja kwa moja kambumbu kutoka uwanja wa Taifa.

Hamasa ya mashabiki ni kubwa sana. Uwanja wa Taifa unaendelea kujaa.
*****

UPDATES
Simba yatupwa nje ya michuano ya Mabingwa Afrika kwa faida ya bao la ugenini waliyoipata UD Songo kutoka Msumbiji.
Katika mashabiki wa simba,wewe na manara ndio nawaoneaga huruma sana. Siku tutakukuta umejic wewe jamaa
 
Sawa, tumetolewa lakini tunabakia kuwa timu bora kabisa ukanda huu. Kwenye mpira miujiza hutokea na leo ni moja ya siku hizo!

Simba wamecheza mpira wa level nyingine ila haikuwa siku yao. Deo Kanda ni mtu jamani! Erasto Nyoni ni champion wa penalty!

Yanga tumejitahidi sana kuwa fair this time lakini mmekosa busara, tutalipa mlichofanya leo, tutalipa vibaya zaidi! Tutajaza uwanja against timu yenu ili mjifunze. Tukikutana na nyie zile tano zinarejea! Hapo ndio tutapoza machungu ya kutoka mapema championship.

Poleni wanasimba wenzangu, sometimes mpira una miujiza na leo ni moja ya siku hizo!
 
Back
Top Bottom