Ligi ya Muungano kuanza kutimua vumbi Aprili 23, 2024

Ligi ya Muungano kuanza kutimua vumbi Aprili 23, 2024

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Ligi ya Muungano limerejea sasa litaanza kutimua vumbi 23/4/2024
Kwa Tanzania bara zitashiriki team mbili ambazo ni Simba na Azam pia upande wa Tanzania visiwani zimetoka KMKM naKVZ.

Yanga hatashiriki mashindano haya kwa kuwa hakualikwa labda angealikwa angebeba kombe lenyewe na mtani msimu huu akatoka kapa.

Simba pambaneni mmetengezewa mashindano mengine japo mbebe kombe la Muungano mkipigwa tutawapa pole tena.
 
Ligi ya Muungano limerejea sasa litaanza kutimua vumbi 23/4/2024
Kwa Tanzania bara zitashiriki team mbili ambazo ni Simba na Azam pia upande wa Tanzania visiwani zimetoka KMKM naKVZ.

Yanga hatashiriki mashindano haya kwa kuwa hakualikwa labda angealikwa angebeba kombe lenyewe na mtani msimu huu akatoka kapa.

Simba pambaneni mmetengezewa mashindano mengine japo mbebe kombe la Muungano mkipigwa tutawapa pole tena.
TFF imefanya kila namna Simba atoke na kombe msimu huu
 
Kombe la muungano?muungano Huu wa kilofa ambao ukienda Zanzibar huwezi kununua ardhi lakini mzanzibari akija anamiliki atakavyo.nawapongeza yanga kukataa huo muungano wa hovyo
 
Back
Top Bottom